Dada mmoja aliyefahamika kwa jina moja tu, Regina ambaye alikuwa ni mkazi wa songea. Amekutwa akiwa kama mwehu mkoani mwanza.
Baadhi ya wasamaria waliomtambua dada huyu wamedai kuwa huko songea alikuwa ni mke wa bwana julius lusangano na ni mama wa watoto wawili Elizabeth na James
Aidha wasamaria hao wamedai kuwa dada huyu alifariki dunia mnamo mwezi December mwaka jana. Kutokana na homa ya maralia iliyo mshika ghafla.
Palipo na wengi hapaharibiki jambo, watu wenye roho Safi wamejitokeza na kumchangia nauli ili kesho arudi kwao.










