Tuesday, 30 June 2015

Omg.... They caught fighting for a man.......


Tokeo la picha la picha warembo
Two women was caught fighting for a man on yesterday near MABATINI STAND MWANZA
tukio hili la kustaajabisha lilitokea jana mchana maeneo ya mabatini stendi karibu na daraja kubwa la kuvukia waenda kwa miguu, aidha kitu kilichowaacha watu mbavu hoi ni pale ilipogundulika kuwa mwanamme wanayempigania sio wa hata mmoja wapo kati yao.

sekeseke hilo lilikolea pale ambapo mmoja kati yao alipo mtandika mwenzake ngumi kali akaanguka kama gunia la mkaa
aidha aibu kubwa ilitawala pale ambapo walifikia hatua za kuchaniana nguo nguo kwani mmoja kati ya wapiganaji hao alimchania mwenzake nguo ya chini yaani skerti pamoja na kyupi.
kwa picha zaidi za tukio hili bofya hiyo picha hapo chini.

Share:

Davido’s New Video Breaks A Record


On June 9th205, Nigerian artist Davido released his much-anticipated music video called “Fans Mi”, featuring American rapper Meek Mill.

A RECORD BREAKER
15 days after it was released, the video has hit more than a million views on YouTube.  Davido shared his joy on his Instagram account by saying: “RECORD BREAKER!!! 1,000,000 views in days!!!!!!” A few weeks back, Davido did tell his fans that this would be the “biggest video of his career.” 2015 has been a great year for the afrobeats musician: he is in the process of releasing a new album, he recently graduated from university, he had a daughter, he bought a house in Atlanta, and he received three nominations for the 2015 MTV Africa Music Awards. Life is good!

Share:

The shame; After drink so much they caught doing............it is

Tokeo la picha la picha warembo
two sisters who were caught doin gmouth....


madada wawili  ambao walikuwa wamelewa chakali walifumwa na mashushushu wetu wakifanya mambo ambayo kiukweli ni kinyume na maadili ya kwetu.
matendo kama haya hayaruhusiwi kabisa kufanyika ukiachilia mbali sheria za mungu na mafunzo ya manabii pia sheria ya nchi hii inapiga marufuku kabisa vitendo vya namna hii
aidha mambo kama haya yamekuwa yakifanyika baada ya wahusika kutumia vitu vinavyo fanya akili zao kukosa mwongozo ambavyo mara nyingi ni pombe kali aina ya whisky na gongo.

WHAT SHOULD BE DONE TO STOP THESE THINGS IN OUR COUNTRY?
LEAVE YOUR COMMENT PLEASE,

NINI KIFANYIKE SASA ILI MAMBO KAMA HAYA YASIENDELEE KUTOKEA?
ACHA MAONI KWA KUBOFYA HIYO PICHA HAPO CHINI


Share:

Follow Us

Random Posts

BTemplates.com

Powered by Blogger.
The Magazine

Facebook

Total Pageviews

Random Posts

Recent Comments

Recent Posts

Popular Posts

Blog Archive