Tuesday, 30 June 2015

Omg.... They caught fighting for a man.......


Tokeo la picha la picha warembo
Two women was caught fighting for a man on yesterday near MABATINI STAND MWANZA
tukio hili la kustaajabisha lilitokea jana mchana maeneo ya mabatini stendi karibu na daraja kubwa la kuvukia waenda kwa miguu, aidha kitu kilichowaacha watu mbavu hoi ni pale ilipogundulika kuwa mwanamme wanayempigania sio wa hata mmoja wapo kati yao.

sekeseke hilo lilikolea pale ambapo mmoja kati yao alipo mtandika mwenzake ngumi kali akaanguka kama gunia la mkaa
aidha aibu kubwa ilitawala pale ambapo walifikia hatua za kuchaniana nguo nguo kwani mmoja kati ya wapiganaji hao alimchania mwenzake nguo ya chini yaani skerti pamoja na kyupi.
kwa picha zaidi za tukio hili bofya hiyo picha hapo chini.

Share:

Davido’s New Video Breaks A Record


On June 9th205, Nigerian artist Davido released his much-anticipated music video called “Fans Mi”, featuring American rapper Meek Mill.

A RECORD BREAKER
15 days after it was released, the video has hit more than a million views on YouTube.  Davido shared his joy on his Instagram account by saying: “RECORD BREAKER!!! 1,000,000 views in days!!!!!!” A few weeks back, Davido did tell his fans that this would be the “biggest video of his career.” 2015 has been a great year for the afrobeats musician: he is in the process of releasing a new album, he recently graduated from university, he had a daughter, he bought a house in Atlanta, and he received three nominations for the 2015 MTV Africa Music Awards. Life is good!

Share:

The shame; After drink so much they caught doing............it is

Tokeo la picha la picha warembo
two sisters who were caught doin gmouth....


madada wawili  ambao walikuwa wamelewa chakali walifumwa na mashushushu wetu wakifanya mambo ambayo kiukweli ni kinyume na maadili ya kwetu.
matendo kama haya hayaruhusiwi kabisa kufanyika ukiachilia mbali sheria za mungu na mafunzo ya manabii pia sheria ya nchi hii inapiga marufuku kabisa vitendo vya namna hii
aidha mambo kama haya yamekuwa yakifanyika baada ya wahusika kutumia vitu vinavyo fanya akili zao kukosa mwongozo ambavyo mara nyingi ni pombe kali aina ya whisky na gongo.

WHAT SHOULD BE DONE TO STOP THESE THINGS IN OUR COUNTRY?
LEAVE YOUR COMMENT PLEASE,

NINI KIFANYIKE SASA ILI MAMBO KAMA HAYA YASIENDELEE KUTOKEA?
ACHA MAONI KWA KUBOFYA HIYO PICHA HAPO CHINI


Share:

Thursday, 25 June 2015

Shilole au shishi baby akili kutokumuacha Mziwanda adai ameupisha mwezi mtukufu.......


Tokeo la picha la MCHEPUKAJI
shishi baby

mwimbaji wa kike ambaye anaondoka na miondoko ya bongo fleva SHILOLE au shishi baby amedai kuwa hajaachana na ubavu wake wa kulia bali wametengana tu kwa muda ili kila mmoja wao apate kufunga swaumu na kutubia kwa yale aliyomkosea mwenyezi mungu

ameibuka na kusema hayo baada ya kuzagaa kwa uvumi mitaani kuwa yeye na mziwanda wameaachana
amewaomba mashabiki wake wasiamini chochote kwani chochote kitakachosemwa juu yake na nuh ni uzushi


ukitaka kusoma zaidi amesema nini pamoja na picha zake mpya bofya hiyo picha hapo chini

Share:

OLD MAN HAVE CAUGHT AKICHEPUKA WITH YOUNG GIRL

Tokeo la picha la WAFUMWA WAKIVUNJA AMRI YA SITA



KUDOWNLOAD BOFYA KWENYE PICHA HAPO CHINI

Share:

Wednesday, 24 June 2015

download new track CHILLA DA HANCE ft CHARZ song NIJUE



Share:

download nwe track; young ac all i be doing




Share:

zari shouts my baby girl will be more than beautifull


Tokeo la picha la picha za zari
diamond platnumz and his x girlfriend zari the boss lady

at yesterday night zari was shouts about her comming baby girl after speading news of what will be the looks of her baby since his father is not more atractive due to the looks of some parts of his body.

saamhani sana naona mna complain sana juu ya muonekano wa my comming baby 
sorry kwa kuwa mi ni mrembo na mwanangu atakuwa mrembo zaidi
haijarishibaba yake ana muonekano gani
acheni umbeya.
hayo ni baadhi ya maneno ambayo zari aliyatamka wakati alipo hojiwa na shushushu wetu
je kwa muonekano wa baba kijacho diamond platnum 
mtoto wake atakuwaje?
acha maoni yako hapo chini.

Share:

shocks; The wines are not cokes


Tokeo la picha la picha warembo
the bloody sisters who were full of wines hence caught by our camera

ni hatari ndugu zangu kwani hapa pananifanya niuamini ule msemo unaosema kuwa pombe sio coka kwani madada hawa ni watu wenye heshima kubwa hapa mjini 
ukizingatia kabisa kipato na heshima walizo nazo waume wao 

sasa imetokea labda mkeo ndo kanasw na kamera yupo katika mazingira kama haya wewe binafsi utafanya nini?

acha maoni yako kwa kubofya picha hiyo hapo chini

Share:

Shilling nears 2,500 mark against dollar


Dar es Salaam/DodomaGet ready for tough times come July 1. This is the consequence of the market hitting back and sending the shilling close to the 2,500-mark against the dollar after a simple majority endorsed the budget in Dodoma yesterday.
As lawmakers from CCM used the tyranny of numbers to overwhelmingly pass the budget without any changes, the shilling surged to a record high, trading at Sh2,400 to the US dollar. This development came as defiant Finance Minister Saada Mkuya told the House there was nothing the government could do. All major currencies in Africa are in freefall, according to the minister, thanks to the stronger dollar.
Analysts predicted earlier that the shilling would reach 2,500-mark against the dollar in October but, judging by the trend, there is a strong possibility that it could surpass the earlier prediction and rise to Sh3,000.
The opposition voted against the budget, insisting that it was burden to the business community and ordinary citizens. But the CCM lawmakers were joined by three lawmakers from the opposition--Wawi MP Hamad Rashid (CUF), John Cheyo (Bariadi East-UDP) and John Shibuda (Maswa East-Chadema).

Virtually all MPs proposed that the government change its decision to raise the fuel levy in the 
next budget but Ms Mkuya spent time convincing the MPs that the proposed increase should stay because it was designed to collect Sh276 billion for rural electrification.
The minister spent an hour responding to the concerns the lawmakers raised before they passed the Sh22.5 trillion budget that was tabled on June 11, giving the government the green light to start implementing the plan on 1 July. Ms Mkuya had a rough time of it convincing the MPs to endorse the budget, though.
Her claims were totally unverified, with no evidence that lower consumption of kerosene was caused by the wider use of electricity. Had that been the case, kerosene imports would have dropped by almost 80 percent. According to independent data The Citizen obtained, over 7.6 million households were using kerosene as their source of energy in 2010.
Ms Mkuya also spent time explaining the shilling’s depreciation against the US dollar, saying that the American economy was currently stronger and that was why many currencies had become weaker.
Because the country was approaching the next General Election, she added, many foreign investors were withdrawing for fear that the chaos experienced in other African countries could also flare up here. But she was optimistic that the shilling would stabilise because the Bank of Tanzania (BoT) governor had taken steps to stabilise the shilling.
Another freefall
The shilling changed hands at Sh2,208/Sh2,400 against the greenback in commercial banks yesterday, extending its freefalling spree to new levels from the Sh2,197/2,380 on Monday.
This is happening at a time when Parliament unanimously endorsed the budget unchanged despite the fact that it has provisions that will trigger a rise in the cost of living and pile more pressure on the Shilling in a country where fuel accounts for a good chunk of the import bill.

Share:

Tuesday, 23 June 2015

help please my sister in law can kill me.....

Tokeo la picha la picha warembo

im here to ask for help because i live at matombo morogoro, and i live with my wife two children and my sister in law who came from dar es salaam after failing of her studies to continue with form five

when she arrived at here she was furru with good manner but when days went and go she started to change 
na sasa anadiriki hata kunivalia kanga moja dada yake anapokuwa hayupo tafadharini sana 
i beg for your help cauze namheshimu sana mke wangu lakini visa kwa shemeji haviishi



LEAVE YOUR COMMENT PLEASE
Share:

shocking; Have you see the photos of masogange thats makes accident.....?

Tokeo la picha la picha za masogange
for this photos masogange you can kill many people especialy mens who are not inmsimamo with their marriage.
Tokeo la picha la picha za masogange

Tokeo la picha la picha za masogange

Tokeo la picha la picha za masogange
Share:

i feel baldy when i hear name of diamond

Ali Kiba says he deserved all awards he scooped at the recently concluded Kili Music Awards 2015 contrary to what some people say that he didn't deserve all 5 awards including entertainer of the year.

 Kiba said he had all criteria to win and he is now well prepared to fight with anyone who thinks he is the real King of Bongofleva

And when the paparazzi mentioned Diamond Platnumz name Kiba didn't look impressed at all and quickly he said he gets nausea(kichefuchefu) whenever and wherever he hears Diamond's name

"Bro. I don't want to hear that name(Diamond), I get nausea(kichefuchefu), you know when I quit the game for a sometime I was just reviewing it but no one managed to be on my chair, and I decided to have a great comeback and from now there is no looking back" said Ali Kiba

He added by saying "I don't mean there isn't best artist like me, don't understand me badly, there are best artists but not that young man(Diamond), music is more than fanfare(mbwembwe), I'm working and I mean it now. If he believes he is fit, works  will give the truth but not childish dramas "
Share:

Petr Cech dismisses reports he has signed for Arsenal

Hold the excitement ye gunners, reports coming in indicate that Petr Cech has not yet signed for Arsenal.
Reports yesterday indicated that the Czech stopper had crossed to Arsenalin a stumped and sealed 11 million deal.
However Cech retweeted a message from his management company that denied the move.
. @MailSport @LeeClayton_ as we told you, No transfer deal has been done yet for @PetrCech - as soon as any news @PetrCech will confirm.
The two clubs have also kept a distance on the matter although Cech is widely expected to make the move for a fee of around £11m as the 33-year-old goes in search of regular football.
The tweet from the The Sports PR Company that appeared in Cech's timeline read: "SportsPRCompany ... as we told you, No transfer deal has been done yet for PetrCech - as soon as any news PetrCech will confirm."

Share:

Bakwata names acting mufti after Simba’s demise


Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally addresses a news conference in Dar es Salaam yesterday following his appointment as acting mufti. He will hold the position for three months as the Muslim Council of Tanzania (Bakwata) prepares to pick the successor to Sheikh Issa Shaaban Simba, who died earlier this month. Second right is the Bakwata Secretary-General, Sheikh Suleiman Lolila.
Dar es Salaam. Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally was yesterday unveiled as an interim Mufti and country’s Chief Sheikh.
Tanzania Muslim Council (Bakwata) secretary general Sheikh Suleiman Lolila said Sheikh Zubeir was unanimously selected by Bakwata’s council of Ulamaa to fill in the shoes of the late Mufti Sheikh Issa Shaaban bin Simba who passed away a week ago.
“Eight votes were cast and they were all in favour of Sheikh Zubeir. He is going to be our top leader for 90 days until the new Mufti is selected,” said Sheikh Lolila.
For his part the interim Mufti Sheikh Zubeir said he will do everything in his power to strengthen Bakwata starting with reviewing its constitution to cater for the vast interest of all Muslims in the country.
He said Bakwata and the council of Ulamaa have a crucial task of uniting all Muslims in the country and maintaining the legacy of the late Sheikh Simba of keeping cordial relationships between Muslims and other religions in Tanzania.
“According to the constitution I will be in office for the next 90 days. I welcome advice and criticism from all Muslims. I will also work hand in hand with my colleagues in setting the platform to get our permanet Mufti,” he said.
Sheikh Lolila told The Citizen that, now that the interim Mufti is already selected the next step is to declare the post of Mufti as vacant and receive names of those who want to fill it.
“After receiving the names, the religious committee which comprises regional and district sheikhs from all over the country and Council of Ulamaa will vet the names and make a short list which will be forwarded to Bakwata’s congress which will select a Mufti out of those names,” he said.
Share:

Monday, 22 June 2015

KCEE ANASWA SOKONI AKINUNUA MAFUTA YA MAWESE

STAA wa 'Limpopo', Kcee akiwa kwenye soko kuukuu akinunua mafuta ya mawese pamoja na matunda.
LAGOS, Nigeria
STAA wa 'Limpopo', Kcee wikiendi iliyopita alituma picha kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa sokoni.
 Kcee siyo mgeni kwa wadau wa muziki wa Bongo, kwani ameshafanya ngoma na Shetta inayoitwa Shikorobo lakini pia amemshirikisha Diamond Platinumz  katika wimbo mpya wa ‘Love Boat’.
 Kcee alituma picha hiyo akionekana akiwa kwenye soko kuukuu akinunua mafuta ya mawese pamoja na matunda huku baadhi ya wauzaji na wanunuzi waliokuwepo eneo hilo wakimshangaa.
Baada ya kupost picha hiyo, mashabiki waliofanikiwa kuiona walimpongeza kwani ni ngumu sana kwa msanii kuonekana akiwa kwenye soko ‘lililochoka’ akinunua vitu.
Share:

DAVINA AMWANGUKIA MUMEWE

Brighton Masalu
Sorry! Staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ anadaiwa kumwangukia mumewe, Abdallah Shakoor ili kurejesha uhai wa ndoa yao ‘iliyokwaruzwa na makucha ya shetani’ ikiwa ni njia ya kurudisha heshima na hadhi yake kwenye familia na jamii kwa jumla.
Staa wa sinema za Kibongo Halima Yahya ‘Davina’.
Habari kutoka kwa chanzo makini kilieleza kwamba, mara kadhaa Davina amekuwa akiomba msaada kwa ndugu, jamaa na marafiki wamsaidie kumuombea msamaha kwa mumewe ili waendelee na maisha kama ilivyokuwa awali.
“Davina amekubali yaishe, unajua anampenda sana mumewe, ‘so’ anahaha kwa ndugu ili wamuombee msamaha,” alisema ‘kikulacho’ huyo wa Davina.
Halima Yahya ‘Davina’ akiwa katika pozi.
Baada ya kuudaka ‘ubuyu’ huo, Ijumaa Wikienda lilizungumza na Davina ambapo alikuwa na haya ya kusema: “Hayo ni maisha yangu binafsi, hayamhusu mtu, kwanza nipo kwenye kikao, niache.”
Share:

Majambazi wamuua sista, wapora fedha

Wananchi wakiangalia sehemu ambayo majambazi walimpiga risasi Sista Clencensia Kapuli Ubungo, Riverside, Dar es Salaam jana. Picha na Michael Matemanga 
Dar es Salaam. Majambazi wamemuua kwa risasi Sista wa Kanisa Katoliki Clencensia Kapuli (50) na kupora kiasi kikubwa cha fedha ambacho hakijajulikana.
Pia, katika tukio hilo lililotokea jana saa nane mchana eneo la Riverside, Ubungo, Dar es Salaam, dereva aliyekuwa akimwendesha Sista kapuli, Patrick Mwarabu alikatwa kidole gumba kwa risasi.
Sista Kapuli wa Shirika la Mtakatifu Maria wa Parokia ya Mwenyeheri Anwarite, Makoka Jijini Dar es Salaam alikuwa mhasibu wa parokia hiyo ambayo inamiliki Shule ya Sekondari Mwenyeheri Anwarite na Chuo cha Ufundi Stadi Makoka.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura aliyefika katika Kituo cha Polisi Urafiki kufuatilia tukio hilo alisema Sista Kapuli na sista mwenzake wakiwa katika gari aina ya Toyota Hilux, walikuwa wakitoka Benki ya CRDB, Tawi la Mlimani City kuchukua fedha na walipita Riverside ndipo walipopatwa na mkasa huo.
“Bado hatujajua ni kiasi gani cha fedha kimechukuliwa kwa kuwa Sista Kapuli ndiye alikuwa mhasibu na ndiye aliyekwenda kuchukua fedha hizo, subirini tutakapokwenda benki kuuliza ni kiasi gani cha fedha alichukua na tutawajuza,” alisema Wambura.
Kamanda huyo alisema mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ukisubiri taratibu za mazishi.
Shuhuda wa tukio hilo, Gadi Kinyamagolo alisema masista hao walikwenda Riverside kununua mchele katika moja ya maduka ya jumla.
“Mara baada ya kumaliza kununua mchele kama kilo 10 hivi walipanda katika gari wakiwa wawili na kabla ya kuondoka zilifika pikipiki mbili zikiwa na watu wanne, zikasimamisha gari hilo huku mmoja akiwa amevalia kininja na mwingine aliyevaa kawaida, wote wakiwa na silaha. Wengine wawili walibaki kwenye pikipiki.
“Kisha nikaona wanapasua kioo cha nyuma ambapo kulikuwa na sista mmoja na mwingine alikuwa mbele, wote wakiwa na mikoba ambayo majambazi hao waliiomba,” alisema Kinyamagoro na kuongeza:
“Walianza kuwaambia tupe mikoba huku majambazi hao mmoja akiwa amesimama upande wa dereva na mwingine upande wa pili wa gari alipokuwa sista aliyeuawa lakini masista wale hawakutoa mikoba hiyo.”
Kinyamagoro alisema: “Baada ya mabishano, sista aliyekuwa nyuma alifungua mlango na kukimbilia katika duka walilonunua mchele na yule aliyekuwa mbele alipofungua mlango akitaka kukimbia alipigwa risasi shingoni na kutokea upande wa pili na kuanguka nje ya gari.
“Baada ya tukio hilo majambazi hayo yalichukua mikoba miwili na kuondoka nayo. Kwa kuwa mimi nilikuwa karibu nililala chini na eneo hili lilikuwa kimya, watu walikimbia na wengine tulilala tukaacha wafanye kazi yao
Share:

Loveness: Natamani niwe mkufunzi wa michezo

Licha ya kuwa ndiye mchezaji mwenye umri mdogo zaidi kwenye mashindano ya Umoja wa Michezo na Sanaa kwa shule za Sekondari (Umisseta) ya msimu huu, Loveness Daudi amekuwa akitumika kama mchezaji kiraka wa Kanda ya Ziwa Magharibi katika mchezo wa netiboli
Kinda huyo aliiongoza Kanda hiyo katika mchezo wa mwisho wa makundi wa netiboli dhidi ya Kanda ya Ziwa, japo walipoteza, lakini Loveness alicheza nafasi ngumu ya kuichezesha timu (Centre), licha ya umri mdogo alionao alitoa ushindani wa hali ya juu kwa wapinzani wao.
“Nimekuja kwenye mashindano nikiwa mchezaji wa timu ya mpira wa mikono, kiongozi wetu alinifuata na kunitaka niwe mchezaji wa kati (Centre) katika timu ya netiboli baada ya nusu ya wachezaji wa netiboli wa Kanda yetu kuwa majeruhi.
“Nilikuwa na uelewa wa mchezo huo kwa kiasi fulani hivyo ninashukuru nimefanya vizuri na na nitaendelea kucheza netiboli hata baada ya hapa kwani ni kipaji changu,” anasema Loveness.
Loveness anayelelewa na babu na bibi yake alizaliwa miaka 12 iliyopita mjini Geita na alianza kushiriki michezo kwa mara ya kwanza akiwa darasa la tano.
“Tuliambiwa kama kuna mtu anahitaji kujiunga timu ya shule ajiandikishe na mimi nikajiandikisha na kuanza mazoezi shuleni.
“Nilipofika darasa la sita nilichaguliwa kwenye timu ya Umitashumta taifa mwaka 2013 katika Mpira wa mikono, ambapo timu yetu ilikamata nafasi ya tatu,” anasema.
Anasema kushiriki kwake michezo hiyo kulianza kumfungulia njia na mwaka uliofuata (2014), aliitwa tena katika timu ya Kanda kabla ya msimu huu kuteuliwa tena kwenye Umisseta akiwa mwanafunzi wa kidato cha kwanza shule ya sekondari Geita.
Anasema michezo hapa nchini imekuwa na changamoto nyingi hali inayomsukuma kusoma kwa bidii huku akitamani siku moja awe mtaalamu wa michezo ili kusaidia wengine.
“Mfano katika shule yetu, hata kocha hatuna, kipindi cha michezo nahodha ambaye ni mwanafunzi mwenzetu ndiye anabeba jukumu la kocha,” anasema Loveness.
Share:

Follow Us

Random Posts

BTemplates.com

Powered by Blogger.
The Magazine

Facebook

Total Pageviews

Random Posts

Recent Comments

Recent Posts

Popular Posts

Blog Archive