the bloody sisters who were full of wines hence caught by our camera
ni hatari ndugu zangu kwani hapa pananifanya niuamini ule msemo unaosema kuwa pombe sio coka kwani madada hawa ni watu wenye heshima kubwa hapa mjini
ukizingatia kabisa kipato na heshima walizo nazo waume wao
sasa imetokea labda mkeo ndo kanasw na kamera yupo katika mazingira kama haya wewe binafsi utafanya nini?
acha maoni yako kwa kubofya picha hiyo hapo chini





