Tuesday, 21 April 2015

Waziri wa TAMISEMI ameitaka mifuko ya jamii kusaidia watumishi kupata makazi.

Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu serikali za mitaa na tawala za mikoa TAMISEMI Mh. Hawa Ghasia ameitaka mifuko ya hifadhi ya jamii nchini isaidie watumishi kupata makazi hasa sekta ya afya ili waweze kutoa huduma bora na kwa wakati muafaka.
Mh Ghasia ametoa wito huo jijini dar es salaam wakati wa utiliaji saini makubaliano kati ya shirika la elimu kibaha na watumishi HOUSING kuhusu mradi wa ujenzi wa nyumba za watumishi wa umma zinazotarajiwa kujengwa ndani ya eneo la shirika hilo ambapo amewataka kulenga maeneo yenye upungufu mkubwa wa nyumba za watumishi.
 
Kwa upande wake mkurugenzi wa NHC Dk. Fred Msemwa amesema kupitia ubia huo katika kipindi cha miaka mitano watajenga nyumba 1,150 pamoja na miundombinu mingine inayoendana na huduma za jamii na hivyo kutawawezesha wafanyakazi mbalimbali waliopo ndani na nje ya kibaha kunufaika na kuongeza kuwa nyumba hizo watauziwa watumishi wa umma na baadae wananchi wa kawaida kwa masharti nafuu.
Share:

Serikali ya Tanzania imesema hakuna watanzania waliouawa katika matukio ya mauji Afrika kusini.


Serikali imesema hakuna mtanzania aliyeuawa katika matukio ya mauji ya  chuki za kibaguzi (ZENOPHOBIA) yanayofanywa na raia wa Afrika Kusini dhidi ya wageni na tayari imeanza mpango wa kuwarudisha nyumbani watanzania 21 kati ya 23 waliohifadhiwa katika kambi kwenye mjini DURBUN nchni humo kwa ajili ya usalama.
Akizungumza na waandishi wa habari waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mhe. Bernad Membe amesema  vifo vya watanzania watatu vilivyotokea nchni humo havina mahusiano na mauaji hayo ZENOPHOBIA na kusisitiza serikali ya afrika kusini imeanza kuchukua hatua na tayari watu wawatu waliohusika na kifo cha rais wa msumbiji wamekamatwa.
 
Akizungumzia idadi ya watanzania waliohifadhiwa kwenye 
Kambi katika mji wa DURBUN,Mhe Membe amesema takribani watanzania 23 wamehifadhiwa katika kambi ya isipingo iliyo  na zaidi ya raia  wa kigeni elfu tatu ambao wako chini ya ulinzi wa serikali ya afrika kusini na kusisitiza serikali imeanza utaratibu wa kuwarudisha nyumbani watanzania 21 kati yao.
 
Akielezea msimamo wa tanzania kufuatia mauaji hayo ya ZENOPHOBIA yanayoendelea nchni afrika kusini,Mhe. Membe amesema serikali inaunga na jumuiya ya nchi za SADC kulaani vitendo vya mauaji yanayoendelea nchni humo ambapo watu 8 wamekwisha uawa kikatili na kuita serikali ya afrika kusini kuzuia mauaji hayo haraka iwezekanavyo.
 
Aidha amesema serikali ya Tanzania haitakuwa na tatizo la watanzania kurudi nchni humo baada ya mauaji kudhibitiwa na kwa upande wa wafanyabishara walisajiliwa kihalali na kupoteza mali zao, serikali itawasiliana na wanasheria wake ili kuona namna ya kutafuta namna ya nchi hiyo kuwafidia hasara waliyoipata.
Share:

Serikali yatakiwa kuvishirikisha vikundi vya uhamasishaji kukabiliana na mauaji ya imani za kishirikina.

Vikundi vya vijana vinavyotumika kuhamasisha jamii kwenye majukwaa ya kisiasa vikijengewa uwezo vina uwezo mkubwa wa  kusaidia kuelimisha jamii kuondokana na imani za  kishirikina ambazo licha ya kuwa kikwazo cha maendeleo zimekuwa chanzo kikubwa cha umwagaji wa damu .
Akizungumza katika ibada maalumu ya kuhamasisha jamii kujiepusha na vitendo vya kishirikina iliyoanadaliwa na wadau mbali mbali kwa ushirikiano na kanisa la Pentekost   kamanda wa vijana wa mkoa  wa Arusha Bw. Philemon Molllel amesema baada ya kubainika kuwa ushirikina ndio msingi mkuu wa mauaji ya walemavu wa ngozi,vikongwe,na maovu mengine  katika jamii kinachohitajika ni kushirikiana na kuhamasishana kuutokomeza kazi  ambayo  vikundi hivyo vinaiweza.
 
Baadhi ya washiriki wa hafla hiyo wakiwemo wanaounda vikundi vya uhamasishaji wamesema  wakiwezeshwa na kushirikishwa kupunguza vitendo hivyo ni jambo linalowezekana kwani yote hayo ni matokeo ya mmomonyoko wa maadili tatizo ambalo ufumbuzi wake ni kuelimisha jami
Share:

Monday, 20 April 2015

Walemavu wa ngozi watakiwa kuboreshewa mazingira mapema badala ya kusubiri kutokea matukio mabaya.

Mashirika mbalimbali na watanzania kwa pamoja wameombwa kuwa na utamaduni wa kuchangia  na kuboresha shule maalumu ambazo zina walemavu wa ngozi ,badala ya kusubiri matukio ya uvamizi kutokea na kuanza kuchukuwa hatu ,kwa kufanya hivyo kuta saidia walemavu  wa ngozi kupata elimu bila ya kuwa na wasiwasi ya kuvamiwa na baadhi ya watu wenye nia mbaya.
Mkuu wa mkoa wa Singida Dk. Parseko Vicent Kone amesema hayo katika hotuba yake iliyo somwa na mkuu wa wilaya ya Singida, Bwana  Said Amanzi katika  hafla ya kukabidhi mradi wa uboreshaji wa miundombinu rafiki kutoka shirika la Koica la nchini korea,na kusema kuwa mashirika kutoka  mataifa  mengine wame weza kuchangia na sisi watanzania   inatubidi kuchangia kwani jukumu la kuwalinda walemavu wangozi ni ni la watanzai wenyewe na kuhakikisha wana pata  ulinzi na elimu kama watu wengine.
 
Kwa upande wake  meneja mradi wa kujitolea kutoka shirika la Koica nchini korea  Bi. Park Jieun amesema mradi wa uboreshaji  wa miundombinu katika chuo cha ufundi na marekebisho kwa watu wenye ulemavu sabasaba umegarimu zaidi ya shilingi milioni arobaini na mbili kwa ajili ya kuboresha mazingira ya chuo kwa kujenga mabweni,matanki ya maji na kuwasaidi walemavu  ili waweze kuishi kama watu wengi ambao siyo walemavu.
 
Awali mkuu wa  chuo cha ufundi na marekebisho kwa watu wenye ulemavu cha sabasaba Bi. Fatuma Malenga ameiomba serekali kuangali uwezekano wa kukijengea uzio chuo na kuweka  vivuko maalumu pamoja na alama katika barabara ambayo ipo karibu na chuo ili kuwawezesha wenye ulemavu wa ngozi na walemavu wengine kuishi katika mazigira salama.
Share:

LHRC yaitaka serikali kutoa machapisho ya kutosha ya katiba pendekezwa.

Wakati taifa likielekea kuipigia kura katiba inayopendekezwa kumejitokeza changamoto  ya upatikanaji wa  katiba hiyo kutokana na kuwepo na machapisho machache ya katiba inayopendekezwa na hivyo kituo cha sheria na haki za binadamu(LHRC) kimeitaka serikali kuchapisha  machapisho ya kutosha ya katiba hiyo ili wananchi waweze kuisoma na kuielewa.
Hayo yameelezwa na mwanasheria wa kituo cha sheria na haki za binadamu (LHRC) Bi.Geline Fuko wakati akizungumza katika mikutano mbalimbali ya kutoa elimu kuhusiana na katiba inayopendekezwa  mjini songea.
 
Bi.Geline Fuko amesema katika maeneo mbalimbali waliyozunguka wamebaini kuwa  machapisho ya katiba  pendekezwa  yako machache hivyo wameitaka serikali  kuchapisha machapisho hayo ya kutosha.
 
Katika mkutano uliofanyika chuo cha ualimu Songea TTC na kuwashirikisha wanachuo na walimu katika chuo hicho wanachuo wamekosoa katiba pendekezwa  kutokidhi matakwa ya wananchi.
Share:

Sunday, 19 April 2015

dara ya maafa ofisi ya waziri mkuu inakusudia kutumia mabati laini kwa waathirika wa mafuriko Morogoro.

Idara ya maafa katika ofisi ya waziri mkuu inakusudia kutumia mabati mepesi kuwajengea waathirika wa mafuriko badala ya kutumia mahema ambayo yanachakaa kwa mda mfupi na kusababisha serikali kuingia garama ya kununua mahema mara kwa mara.
Mkurugenzi wa kitengo cha maafa katika ofisi  ya waziri mkuu Brigedia general Mbazi Msuya ameyasema hayo katika kikao cha kazi cha wadau na watendaji wanaohusika na maafa katika halmashauri ya wilaya ya Mvomero kilichojadili  juu ya mwongozo wa kuchukua  hatua za  dharura kulingana  na rasilimali zilizopo ambapo ameeleza mpango wa kutumia mabati hayo ambayo yanafahamika kama Pre Fabricated House  utaanza baada ya sampo itakayokubalika kupelekwa ngazi za juu  kwaajili ya kuidhinishwa.
 
Nae mkurugenzi msaidizi wa kitengo hicho naima mrisho amesema juu mpango huo ambao umeanza na wilaya 15 za Tanzania kwa mkoa wa Morogoro ikiwa wilaya ya Mvomero na Kilosa amesema lengo kubwa nikuhakikisha wanazuia majanga ambayo yamekuwa yakigharimu vifo na vilema vya maisha huku mkuu wa wilaya ya Mvomero Festo Kiswaga amepongeza mpango huo ambapo amesema wilaya hizo zimekuwa zikitokea maafa ya mara kwa mara
Share:

Saturday, 18 April 2015

Wanafunzi waliopigwa na radi kufuatia mvua iliyonyesha mkoa wa kigoma wazikwa.

Mkuu wa mkoa wa kigoma Luten Kanal Mstaafu Issa Machibya  amewaongoza mamia ya wakazi wa manispaa ya kigoma ujiji  kuaga miili ya watu wanane wakiwemo wanafunzi  sita wa darasa la kwanza katika shule ya msingi ya kibirizi mjini kigoma walio fariki dunia jana baada ya kupigwa na radi kufuatia mvua iliyonyesha kwa takriban masaa matatu.
Majonzi yalitawala shughuli hiyo  hasa baada ya miili hiyo kupokelewa katika viwanja  vya  shule ya msingi kibirizi kabla ya ndugu kukabidhiwa tayari kwa maziko huku mwili wa Mwalim Elieza Mbwambo ukisafirishwa kwenda moshi kwa maziko .
 
 Akitoa salam za rambirambi mkuu wa mkoa wa kigoma Luten Kanal Mstaafu Issa Machibya amewataka wafiwa na wananchi kuchukulia  tatizo hilo kama ni tukio la ajali ya kawaida na kwamba msiba huo ni mzito.
 
Kwa upande wao viongozi wa dini Shekh Moshi Guoguo kutoka Bakwata na mchungaji Emmanuel Mtoi wa kanisa la KKKT wakitoa mawaidha katika msiba huo, wamewataka waumini wa dini mbalimbali kujiandaa kwa kuwa kila mwanadamu ataonja mauti  kwa wakati wake na kwamba imani za kishirikina zisihusishwe katika msiba huo.
Share:

Chama cha ACT chaitaka serekali kutoa taarifa za uchunguzi wa ajali zinazo tokea mara kwa mara.

li kupunguza ajali za barabarani ambazo zimekuwa zikisababisha vifo na wananchi kupata ulemavu,chama cha ACT wazalendo kimeitaka serekali kutoa taarifa ya tume ya uchunguzi wa ajali za barabarani zilizo fanyiwa utafiti ili kuweza kutafuta namna yakutatua matatizo ya ajali za mara kwa mara.
 akiwahutubia mamia ya wakazi wa manispaa ya Singida na viunga vyake  kwenye mkutano wa kunadi chama cha ACT kiongozi mkuu wa chama hicho Bwana. Zitto Kabwe ,amesema aliyekuwa waziri wa uchukuzi Dk Harsson Mwakyembe aliunda tume ya uchunguzi wa ajali na mpaka sasa majibu hayaja tolewa,jambo ambalo limekuwa likisababisha ajali kuendelea kutokea na kwa kipindi cha mwenzi Mach na April mwaka huu zaidi wa watu mianane wamesha poteza maisha kwa ajili ya ajali.
Katika hatua nyingine Bwana. Zitto Kabwe ameitaka serekali kuhakikisha inawabana wamiliki wa mabasi kote nchini  ,watoe  mikataba ya kazi   kwa madereva wao ili waweze kujulikana, kwa kufanya hivyo kuta punguza ajali ambazo siyo za msingi.
Awali mwenye kiti wa chama cha ACT Bi.Anna Mghwira na kada wa chama hicho Bwana  Selemani Msindi maarufu kwa jina la Afande Sele wamesema huduma nyingi  hasa za afya wakati wa zamani zilikuwa zikipatikana kulingana na uwezo wa serikali wakati ule, na kwasasa nchi imekuwa na utajiri mwingi wa madini ,kilimo na biashara,lakini cha kushangaza fursa hizo zimekuwa zikitumiwa na baadhi ya watu na kuwaacha wananchi wengi wakiwa masikini.
Share:

Zaidi ya watu miamoja wahofiwa kufa baada ya kuangukiwa na kifusi katika kijiji cha Karore wilayani Kahama.

Watu zaidi ya mia moja wanahofiwa kufa baada ya kuangukiwa na kifusi katika machimbo ya dhahabu ya wachimbaji wadogo wadogo ya kalole yaliyoko katika kata ya msalala wilayani kahama mkoani shinyanga na inasemekana wachimbaji hao walivamia mgodi baada ya muda wa kazi hali iliyosababisha mashimo manane ya mgodi huo kutobozana na hatimaye nguzo kuvunjika na kisha kifusi kuwaangukia.
ITV ilifika katika eneo hilo na kukuta zoezi la kutambua maiti linaendelea na wakaguzi wakiendelea na zoezi la kukagua mashimo yaliyokuwa wazi huku baadhi ya wachimbaji walionusurika katika tukio hilo wakiulalamikia ulinzi wa machimbo hayo kuwa ndio chanzo cha tukio hilo kwakuwa tukio lilitokea mapema saa kumi na mbili baada ya saa za kazi lakini inashangaza taarifa kupatikana saa sita za usiku na wamedai kuwa idadi ya watu waliofukiwa na kifusi ni zaidi ya mia na hamsini lakini serikali imeridhika na idadi ya watu kumi na tisa ambao wameshaopolewa hadi wakati huu.
 
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa shinyanga Justus Kamugisha amesema watu hao walivamia mgodi baada ya muda wa kazi kuisha na kulingana na wingi wao mgodi ulielemewa na kusababisha nguzo kuvunjika hali iliyosababisha kifusi kuwaangukia lakini kwa jitihada za jeshi la polisi tayari wameshaopolewa watu kumi na tisa na kumi na mbili kati yao wameshatambuliwa na tayari wameshachukuliwa na ndugu zao tayari kwa maziko.
 
Kwa upande wake mkuu wa wilaya ya kahama Bw. Benson Mwampesya amesema kwakuwa imeonekana idadi ya vijana walioangukiwa na kifusi ni wengi zaidi ya hao walioopolewa serikali imeamua kuomba wataalam na mitambo ya kuchimba eneo hilo kutoka katika mgodi wa bulyanhulu unaomilikiwa na kampuni ya acacia ili kuharakisha zoezi la kuhakiki kuwa hakuna maiti zingine zilizonaswa katika mashimo ya mgodi huo.
Share:

Ghala lenye dawa zilizopigwa marufuku na zilizokwisha muda wake wa matumizi limekamatwa Mwanza

 
 Maofisa zaidi ya 30 kutoka mamlaka ya chakula na dawa na baraza la Famasi Tanzania
wamekamata ghala lenye dawa za serikali,zilizopigwa marufuku na zilizokwisha muda wake wa matumizi zenye thamani ya shilingi milioni 97 zikiwa zinamilikiwa na mfanyabiashara wa jijini mwanza CHARLES MBUSIRO kinyume cha sheria.
Ghala hilo lililopo eneo la ilemela jijini mwanza limekutwa likiwa limesheheni zaidi ya 120 za dawa ambazo ni sawa na tani 42 zikiwemo dawa za serikali za Kenya na Uganda, dawa za misaada, dawa zilizopigwa marufuku nchini kama vile klorokwini ya sindano, amodiaquine na gripe water -dawa nyingine zilizokutwa ndani ya ghala hilo na kwenye duka lake la dawa lililopo Natta barabara ya nyerere ni pamoja na ambazo hazijasajiliwa na TFDA na azisizoruhusiwa kuuzwa kwenye maduka ya dawa.
 
Meneja wa usalama wa dawa wa TFDA Kissa Mwamwitwa ndiye aliyeongoza zoezi hilo liliendeshwa chini ya usimamizi mkali wa askari polisi wenye silaha za moto.
Baadhi ya maofisa wanaotekeleza operesheni hiyo, wakiwemo wanasheria kutoka TFDA na baraza la famasi tanzania pamoja na meneja wa mamlaka hiyo kanda ya kati Florent Kyombo wakizungumzia tukio hilo wamesema taratibu za kisheria zinafanyika ili kumfikisha mahakamani mtuhumiwa.
 
Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa kahasa ilemela Richard Peter alikuwa shuhuda wakati maofisa hao wa TFDA, baraza la famasi tanzania na askari polisi walipokuwa wakitekeleza zoezi hilo kwenye ghala la dawa ambalo linasemekana bado halijasajiliwa na TFDA huku mmliki wake charles mbusiro akitoroka kwa kuruka ukuta na kutokomea kusikojulikana.
Share:

Friday, 17 April 2015

Saddam aide Izzat Ibrahim al-Douri 'killed' in Iraq

saddam aide Izzat Ibrahim Al douri

 Fugitive Iraqi militant leader Izzat Ibrahim al-Douri,
who was right-hand man to Iraq's ex-leader Saddam Hussein, has been killed, Iraqi officials say.

They say he died in fighting in Salahuddin province, north of Baghdad. His supporters have denied the claim.
Douri, 72, led the Naqshbandi Order insurgent group, a key force behind the recent rise of Islamic State (IS).
He was deputy to Saddam Hussein, who was ousted when US-led forces invaded Iraq in 2003 and executed in 2006.

Douri was regarded as the most high-profile official of Saddam Hussein's Baath party to successfully evade capture after the invasion, and had a large bounty on his head for years.
He was the King of Clubs in the famous pack of cards the US issued of wanted members of Saddam Hussein's regime after its defeat.

Body picture

There have been reports of Douri's death or capture before. The now-dissolved Baath party denied the latest claim.
However, al-Arabiya TV showed a picture of what it said was Douri's body.
Salahuddin governor Raed al-Jabouri said he had died during an operation by soldiers and allied Shia militiamen east of Tikrit - a city that was recaptured by the government two weeks ago.
Douri's Naqshbandi Order is the main Baathist insurgent group. Despite its secular roots, it is believed to have played a key role in a major offensive by Islamic State last year.
IS seized swathes of territory in eastern Syria and across northern and western Iraq, in an effort to establish an Islamic "caliphate".
But in recent months Iraqi forces - backed by US-led air strikes since August - have recaptured 25% to 30% of the territory initially lost to IS.
The jihadist group still controls large areas, including the second city of Mosul, in the north
The violence in Iraq has been fuelled by the sectarian divide between Sunni and Shia Muslims.
The government is dominated by politicians belonging to the Shia majority and backed by Shia militias. IS and other insurgent groups are Sunni.
On Friday a car bomb reportedly exploded near the US consulate in Irbil, the capital of the autonomous Kurdish region.
Share:

Thursday, 16 April 2015

putin sees sanction as stimulus for Russian....


Russian President Vladimir Putin at phone-in, 16 Apr 15
It is a rare occasion for Mr Putin to speak to a huge audience of Russians directly

Russian President Vladimir Putin says his country can use Western sanctions to boost economic development by becoming more self-reliant.
He is taking part in a live televised phone-in, with Russia's economic problems figuring prominently.
Mr Putin said he had told business leaders that he did not expect EU-US sanctions - imposed over Russia's actions in Ukraine - to be lifted soon.
"We need to use the situation to reach a new level of development," he said.
It is the 13th such annual phone-in - and usually they last about four hours.
The BBC's Sarah Rainsford in Moscow says the event is highly choreographed but does reveal Russians' concerns. Russians' real incomes have fallen this year for the first time since Mr Putin came to power.
About two million people have submitted questions. Russia's ailing economy is a national preoccupation.
Share:

president pledges to raise sewol ferry as S Korea mourns

South Korea's president has promised to raise the Sewol ferry, as the nation marks a year since the disaster.
A total of 304 people, mostly school students, were killed when the ship - which was overloaded and illegally redesigned - sank off Jindo island.
The government has faced a day of anger with relatives cancelling at least one memorial service in protest.
Divers have recovered all but nine of the bodies. Relatives say the ship must be raised and their remains found.
The government says salvaging the ship will cost $110m (£74m) and has previously refused to commit to doing so.
But President Park Guen-hye, speaking at a port in Jindo, said she would take "the necessary steps to salvage the ship at the earliest possible date".
People pay a tribute at a group memorial altar for the victims of the sunken South Korean ferry Sewol at a remembrance hall in Ansan on 16 April 2015
The Sewol ferry disaster left 304 people - mostly teenage students - dead or missing
South Korea's National Assembly adopted a resolution saying a speedy recovery of the ferry would help heal "the minds of the victims, survivors and bereaved families... as well as those of all the citizens".
But relatives of the missing students had said there were not convinced that the Sewol would definitely be raised, the BBC's Stephen Evans in Seoul reports.
They remain wary of the plan, and called Ms Park's announcement vague and politically motivated.
Grey line
In a photo taken on 11 April 2015 Lee Keum-Hui looks at photos in the bedroom of her daughter Cho Eun-Hwa, a victim of the Sewol ferry disaster who remains unaccounted for, in Ansan
Lee Keum-hui's daughter Eun-hwa died trapped in the ferry. Her body has not been found.
Steve Evans, BBC News, Seoul:
Even as President Park gave the bereaved families what they had been asking for, she must have felt their wrath and their grief.
Dressed in the black of mourning, she stood on a windy breakwater near where the Sewol sank and announced that the vessel would be raised - just as the families had demanded.
"I have a heavy heart and my heart aches to think how painful it is," she says.
But bereaved families had left the port before she arrived, a gesture the South Korean media interpreted as a protest against what the families allege is her previous inaction over both the raising of the Sewol and fulfilling the promise of an independent enquiry.
Grey line
In this image taken from video released by News Y via Yonhap, passengers from a ferry sinking off South Korea's southern coast, are rescued by a South Korean Coast Guard helicopter in the water off the southern coast near Jindo, south of Seoul, Wednesday, 16 April 2014
The ship listed and sank on 16 April 2014, capsizing over a three-hour period
South Korean Prime Minister Lee Wan-Koo (L) bows as he is blocked by family members of the victims of the sunken South Korean ferry Sewol outside a remembrance hall in Ansan on 16 April 2015
Relatives blocked PM Lee Wan-koo from a memorial hall, amid ongoing anger at the government
Memorial ceremonies are being held across the country on Thursday.
But relatives cancelled a planned service in the city of Ansan in protest against Ms Park's absence from the event.
In the morning, Prime Minister Lee Wan-koo was prevented from entering the venue by relatives of those who died.
A relative of victims of the Sewol ferry disaster weeps as she and others stand on the deck of a boat during a visit to the site of the sunken ferry off the coast of South Korea's southern island of Jindo on 15 April 2015
On Wednesday relatives of those who died paid their respects at the site of the disaster
In this 12 April 2015, photo, survivor Yang Jeong-won, a student who was rescued from the sunken Sewol ferry, puts her head on her desk inside a classroom at Danwon High School in Ansan, South Korea, which has become a memorial for her classmates who were killed
This classroom at Danwon High School has been left as a memorial to the children who died
Investigators say the ferry sank after an inexperienced crew member made too fast a turn. The combination of an illegal redesign and overload meant the ship was unstable.
But some relatives say they want an independent and more thorough inquiry into the disaster, which sparked countrywide debate about regulatory failings and official incompetence.
Most of the crew of the Sewol survived.
The captain and three senior crew members have since been given long jail terms for failing to protect passengers.
Eleven other crew members were imprisoned, as was the captain of the a coast guard vessel involved in the botched rescue effort.
Separate trials were held for employees of the ferry operator, Chonghaejin Marine Co. Its owner, Yoo Byung-eun, disappeared after the disaster and was eventually found dead.

Sewol victims

  • 325 students aged between 16 and 17 from Danwon High School, south of Seoul, were on a school trip to the holiday island of Jeju when the ferry sank
  • Only about 70 survived - many had obeyed orders to stay put as the ferry listed
  • Several texted their family members goodbye and to tell them "I love you". One also filmed what turned out to be his last moments on his mobile phone inside the ship. The texts and footage were retrieved by parents and later broadcast on national television
  • Some of the survivors later testified that they had to float out of cabins and most of the crew members did not attempt to help them
  • At least three crew members died trying to evacuate passengers. They included an engaged couple, Jung Hyun-seon and Kim Ki-Woong, and the youngest crew member Park Ji-young, who gave her lifejacket to a passenger. All three have been named "martyrs" by the government
Share:

Wednesday, 15 April 2015

huawei announced P8


Huawei P8 phones
Huawei announced its new smartphones in London, far from its Shenzhen-based headquarters
Huawei has unveiled its latest flagship phones with cameras that it says are capable of creating "professional" looking photos and videos.
The firm said a mix of an advanced sensor and optical image stabilisation tech offered superior night photos and the ability to create "light painting" effects with real-time previews.
The Chinese company is pitching its P8 handsets as "premium" options.
But one analyst said the firm still had a "mountain to climb".
The Shenzhen-headquartered company impressed many reviewers with the design of a smartwatch unveiled at Barcelona's Mobile World Congress in February, which one tech blog described as "the surprise hit" of the trade fair.
Share:

here's would happen if us bombs iran


Last week, Republican Senator Tom Cotton criticized President Obama's nuclear deal framework with Iran, saying that Obama was refusing to admit that airstrikes against Iran's nuclear facilities would only take "several days," and wouldn't require any longer-term military commitment to be effective. Obama, he said, was offering a "false choice" between the deal and war.

A number of influential foreign policy analysts, particularly at some of the more hawkish conservative institutions in DC, have openly endorsed military action as the best possible way to prevent Iran from getting a bomb. And while Cotton is notably more hawkish than most politicians, few of whom openly support a strike on Iran's nuclear facilities now, many 8u suggested that airstrikes or even war should be on the table if talks fail.

Advocates of bombing Iran sincerely believe that it's the best possible option for dealing with a bad situation. And the position isn't totally crazy: if Iran is dead-set on getting a bomb, it'll be hard to stop them peacefully. A nuclear armed Iran would be a major threat to the Middle East, and the US military is easily capable of overpowering Iran's armed forces in a straight fight.
But attacking Iran would end in disaster. Surgical strikes would only set Iran's nuclear program back temporarily; destroying the country's nuclear capacity entirely would require outright war. That would kill thousands of people, destroy whatever vestiges of political stability remain in the Middle East, potentially wreak havoc on the global economy, and — barring a total, Iraq-style military occupation of the country — fail to permanently end Iran's nuclear program.



Why many Iran hawks believe air strikes are the only way




Share:

Friday, 10 April 2015

vatcan wamkataa balozi why?

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani papa Francis
Mzozo wa kidiplomasia umezuka kati ya makao makuu ya papa mtakatifu ya the Vatican na Ufaransa kuhusiana na uteuzi wa balozi mpya wa Ufaransa, mjini Rome.
Rais wa Ufaransa Francois Holland, amempendekeza muumini mmoja wa kanisa hilo ambaye ni mpenzi wa jinsia moja kuwa balozi wake mjini Vatican.
Lakini utawala wa Vatican umesema uteuzi huo haukubaliki.
Makao makuu ya papa mjini The Vatican hayajasema lolote kuhusiana na uteuzi huo ,lakini ni dhahiri kuwa baadhi ya maafisa wakuu katika kanisa hilo hawajakubali msimamo wa papa kuhusiana na waumini wa kanisa hilo ambao ni wapenzi wa jinsia moja.
Papa alinukuliwa akihoji kuwa yeye hawezi kumhukumu mtu yeyote kwa misingi yoyote.
Makao makuu ya kanisa katoliki ,the Vatican
Serikali ya Ufaransa ilimteua laurent Stefanini kuwa balozi wake mjini vatican mnamo mwezi Januari mwaka huu.
Balozi Stefanini mwenye umri wa miaka 55,amekiri hadharani kuwa yeye anashabikia mapenzi ya jinsia moja na amewahi kufanya kazi katika ubalozi huo mjini Roma na amekuwa mshauri wa masuala ya kidini katika wizara ya mambo ya nje ya ufaransa.
Kwa sasa hakuna upande unaoonekana kuwa tayari kubadili msimamo wake.
Ufaransa ilhalalisha ndoa za jinsia moja mwaka 2013 na uamuzi wa The vatican wa kukataa kumkubali balozi Stefanini huenda ikawa ni thibitisho la The vatican la kutoidhinisha msimamo huo wa Ufaransa.
Share:

Wednesday, 8 April 2015

hatimaye Gabon waandaa kombe la Afcon 2017

Gabon imezipiku Algeria na Ghana kuwa mwenyeji wa fainali za Afcon za mwaka 2017
Gabon ndiye mwenyeji wa kombe la mataifa ya Afrika yatakayoandaliwa mwaka wa 2017.
Gabon imeahidi kutumia viwanja 4 katika mashindano hayo yenye timu 16 kati ya mwezi Januari na Februari.
Viwanja hivyo vitakuwa Libreville Franceville, vilivyotumika mwaka wa 2012,huku Port Gentil na Oyem
zikitarajiwa kukamilishwa katika kipindi cha miezi 14 ijayo kwa mujibu wa onyesho la shirikisho la soka la Gabon.
Gabon, inayopewa nafasi ya kushinda kinyang'anyiro hicho, iliandaa kwa pamoja na majirani zao Equatorial Guinea, fainali za mwaka 2012
Wenyeji wa awali wa fainali hizo, Libya, ambako vita vya wenyewe kwa wenyewe vimekwamisha shughuli za mpira, ilijitoa mwaka jana kuandaa mashindano hayo.
Kamati ya shirikisho la vyama vya soka barani Afrika, Caf, itaendesha uteuzi huo katika mkutano wake wa mwaka utakaofanyika mjini Cairo,
Misri kuamua nani atakuwa mwenyeji wa fainali hizo.
Timu ya Gabon
Ghana iliandaa imewahi kuandaa fainali za mwaka 1963, 1978 na 2008 na iliandaa kwa pamoja na Nigeria fainali za
mwaka 2000 kama waandaji mbadala wakati Zimbabwe iliponyang'anywa haki ya kuandaa fainali hizo.
Algeria iliandaa fainali za mwaka 1990 wakati waliposhinda taji hilo pekee barani Afrika.
Caf pia inatarajiwa kupanga ratiba ya kufuzu kwa fainali hizo, ambayo itazishirikisha pia nchi za Morocco na Tunisia.
Morocco ilifungiwa kushiriki katika fainali mbili mfululizo za shirikisho la Caf baada ya kushindwa kuandaa fainali za mwaka 2015
lakini walishinda kesi hiyo baada ya kukata rufaa katika mahakama ya michezo, CAS.
Tunisia imeondolewa adhabu ya kutoshiriki michuano ya shirikisho hilo baada ya kuomba radhi kwa kulishutumu shirikisho hilo kwa upendeleo.
Share:

Monday, 6 April 2015

mtoto azaliwa bila pua

mtoto aliyezaliwa bila pua
Eli Thompson alizaliwa tarahe nne Machi jioni, lakini alikuwa na kasoro moja, hakuwa na pua.
Siku niliyojifungua, kila kitu kilikuwa sawa.'' Mamake Brandi McGlathery ameambia ABC News Today nchini Marekani.
''Alipozaliwa daktari alimweka kifuani mwangu. Nilipomwangalia kwa karibu, nilisema ' Hana pua'. Walimchukua na kutoka naye.
McGlathery amesema kwamba daktari alikaa kando ya kitanda chake ili kumweleza hali ya mtoto wake. ''Alikuwa amehuzunika..''Amesema.'' Nilijua papo hapo kuwa hakuwa sawa.''
Hata ingawa mtoto wake hakuonyesha kasoro zozote zaidi, McGlathery amesema kuwa alishangazwa na kuhuzunika kutokana na habari hizo.
Lakini licha ya kukosa pua, Brown amesema kuwa mtoto huyu ana afya nzuri na pia ni mtoto mrembo.
Share:

boko haramu yawauwa watu 20 nigeria....


Watu 20 wameuawa mashariki mwa Nigeria kufuatia mashambulizi mapya yanayoendeshwa na kundi la Boko Haram katika eneo hilo.
Eneo la kwaJaffa, katika jimbo la Borno, lilishambuliwa Jumapili jioni na washambulizi hao waliowashambulia wananchi na baadaye kuteketeza nyumba zao.
Majuma machache yaliyopita miji kadhaa na vijiji vilikombolewa na wanajeshi wa Nigeria wakisaidiwa na Chad, Cameroun na Niger.
Mwanamume aliyetoroka mji wa Kwajaffa wakati wa mashambulizi ya kundi hilo la Boko Harram amerudi nyumbani kwake na kupata kumeharibika pakubwa. 

Aliambia BBC kuwa alihesabu maiti za raia waliokuwa wamepigwa risasi na wanamgambo wa Boko Harram na alipata maiti zingine zilizokuwa zimeteketezwa.
Shambulio hilo linadhaniwa kuwa adhabu kwa jamii nzima kwa sababu karibu nyumba zote ziliteketezwa.
Boko Haram lina tabia ya kulenga maeneo ambayo raia wameunda makundi ya ya kiusalama ambayo wakati mwingine hushirikiana na wanajeshi wa Serikali.
Vijiji viwili katika eneo la Kala Balge lililo karibu na mpaka na Cameroon pia vilishambuliwa na watu 14 waliuawa.

Washambulizi hao wamefukuzwa katika miji na vijiji vingi na jeshi la muungano wa mataifa jirani ambayo yangali nchini humo.
Hata hivyo mauaji ya hivi karibuni yanaonyesha kuwa raia wengi wangali katika hatari ya kushambuliwa wakati wowote.
Zaidi ya watu milioni moja waliotoroka makwao bado hawawezi kurudi nyumbani kwa sababu hakuna usalama.
Share:

kenya yatekeleza shambulizi somalia

Ndege za kijeshi za Kenya zashambulia Somalia
Ndege za kijeshi za Kenya zimeshambulia maeneo ya wapiganaji wa kundi la Alshabaab katika taifa jirani la Somalia ,msemaji wa jeshi ameiambia BBC.
Ndege hizo zililenga maeneo mawili ya jimbo la Gedo,linalotumiwa na wapiganaji hao kuvuka na kuingia Kenya, msemaji huyo ameongeza.
Maeneo hayo mawili hutumiwa na wapiganaji hao kupanga mshambulizi nchini Kenya.
Wanajeshi wa AMISOM walitarajiwa kupeleka wanajeshi wao katika eneo hilo la Gedo lakini hadi sasa hawajafanya hivyo.
Hili ni shambulio la kwanza la Kenya kwa shambulizi la alshabaab ambalo lilisababisha mauaji ya watu 148 katika chuo kikuu cha Garissa wiki iliopita.
Amisom
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameapa kujibu shambulizi hilo kwa njia mbaya zaidi.
Msemaji wa jeshi la Kenya David Obonyo ameiambia BBC kwamba Jeshi la Kenya lilijibu vitisho kwa kutekeleza mashambulizi ya angani siku ya jumapili usiku katika eneo hilo.
Hakuna maelezo zaidi ya oparesheni hiyo yaliotolewa.
Share:

Sunday, 5 April 2015

kenya waitumia pasaka kuwa siku ya maombolezo garisa.



Ybaadhi ya wafiwa wakiwa katika m!ombolEzo.

Ikiwa siku ya kwanza ya zile tatu za maombolezi zilizotangazwa na rais Uhuru Kenyatta wa Kenya imeanza kufuatia shambulizi la chuo kikuu cha Garissa,makanisa yote nchini Kenya yatajitolea kuwaombea waathiriwa wa tukio hilo wakati huu wa sikukuu ya pasaka.
Shambulizi hilo la siku ya Alhamisi liliwaacha takriban watu 150 wakiwa wameuawa.
Shirika la msalaba mwekundi nchini Kenya linasema kuwa hadi sasa maiti 54 zimetambuliwa katika chumba kimoja cha kuhifadhi maiti kwenye mji mkuu wa Kenya Nairobi.


Bendera ya kenya

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema kuwa idara za usalama zinahitaji kuongeza jitihada za kupambana na wanamgambo wa Al shabaab.
Chuo cha kutoa mafunzo ya kiislamu kinacheshimiwa zaidi nchini Misri, Al-Azhar kimelaani kile ilichokitaja kuwa shambulizi la kigaidi dhidi ya wanafunzi wasio na hatia.
Share:

Saturday, 4 April 2015

je, waijua mikao ambayo ni rimbwata kwa ndoa?

 Msomaji wa blog hii Leo ni siku nyingine tena ambayo kwa kudra za m.Mungu ametufi?isha pasi na uzito wowote.
Leo tutazumgumzia namna ambayo mwanamme anatakiwa kumuweka mpenzi/mke wakati wa kufanya tendo la ndoa.
Kuna mikao mingi sana inayojulikana lakini leo ntazungumzia mikao/styles kama wengi wenu mnavyofahamu.
1: Mlalo kifudi 
huu ni mkao ambao kama utautumia vizuri basi mwenzi wako anaweza kusikia raha za ajabu kiasi kwamba hata kama ana mpenzi mwingine anaweza kumtaja.
unacho takiwa kufanya ni kumuacha mke/mpenzi wako atangulie akiwa amelala kifuli fuli na we kumtokea kwa nyuma huku ukiulazimisha mwili wako ugusane na wa mpenzio. Hii itasaidia kuongeza msisimko na itazidisha utamu.

 2: Kichuma mboga/mbuzi kagoma kwenda
   Hii pia ni style ambayo kama muhusika utakuwa mtundu kwenye kuutumia mchi vizuri basi mpenzi wako lazima akojoe haraka.
   Unachotakiwa kufanya ni kumuacha mpenzi wako atangulie akiwa ameinama hii husaidia kuufanya uke kurudi nyuma hivyo hata unapoupeleka mchi huingia pasi na usumbufu wa aina yoyote.

 3:mlalo ubavu
  Hii pia ni style ambayo huleta msisimko mzuri wakati wa tendo husika. Mara nyingi hii style hutumiwa na wale ambao hujishugurisha na kazi ngumu kama kumwaga zege, kubeba magunia n.k
kwa picha na maelezo kuhusu styles nyingine endelea kufuatilia hapahapa.

Share:

Follow Us

Random Posts

BTemplates.com

Powered by Blogger.
The Magazine

Facebook

Total Pageviews

Random Posts

Recent Comments

Recent Posts

Popular Posts

Blog Archive