Mkurugenzi wa kitengo cha maafa katika ofisi ya waziri mkuu
Brigedia general Mbazi Msuya ameyasema hayo katika kikao cha kazi cha
wadau na watendaji wanaohusika na maafa katika halmashauri ya wilaya ya
Mvomero kilichojadili juu ya mwongozo wa kuchukua hatua za dharura
kulingana na rasilimali zilizopo ambapo ameeleza mpango wa kutumia
mabati hayo ambayo yanafahamika kama Pre Fabricated House utaanza baada
ya sampo itakayokubalika kupelekwa ngazi za juu kwaajili ya
kuidhinishwa.
Sunday, 19 April 2015
Home »
habari za nyumbani
» dara ya maafa ofisi ya waziri mkuu inakusudia kutumia mabati laini kwa waathirika wa mafuriko Morogoro.





