Akizungumza na waandishi wa habari kamanda wa jeshi la polisi mkoa
wa Shinyanga Bw. Justus Kamugisha amethibitisha kukamatwa watu hao
akiwemo mwalimu wa shule ya msingi katunguru iliyoko katika tarafa ya
msalala wilayani Kahama aliyetajwa kwa jina la bahati kirungu huku
kamanda kamugisha akidai kuwa jeshi la polisi linaendelea kufanya
uchunguzi kuhusiana na tukio hilo ili kuwabaini na kuwakamata watuhumiwa
wengine wanaojihusisha na biashara hiyo.
Aidha kamanda kamugisha amesema bado kunahitajika nguvu kubwa
katika harakati za kukomesha biashara haramu ya viungo vya binadamu
inayochafua sifa ta taifa huku akiwataka watanzania kushirikiana na
jeshi la polisi kupambana na biashara hiyo ili kuwanusuru binadamu
wenzetu wasio na hatia wanaofanyiwa vitendo vya kikatili.











lawyer associated with Deputy President William Ruto is preparing to
propose to US President Barrack Obama’s daughter, Malia, when the Obamas
visit Kenya in July.
