shishi baby
mwimbaji wa kike ambaye anaondoka na miondoko ya bongo fleva SHILOLE au shishi baby amedai kuwa hajaachana na ubavu wake wa kulia bali wametengana tu kwa muda ili kila mmoja wao apate kufunga swaumu na kutubia kwa yale aliyomkosea mwenyezi mungu
ameibuka na kusema hayo baada ya kuzagaa kwa uvumi mitaani kuwa yeye na mziwanda wameaachana
amewaomba mashabiki wake wasiamini chochote kwani chochote kitakachosemwa juu yake na nuh ni uzushi
ukitaka kusoma zaidi amesema nini pamoja na picha zake mpya bofya hiyo picha hapo chini










