Tuesday, 23 July 2013

9 wauawa kwenye ghasia nchini Misri

Watu tisa wameuawa mjini Cairo, Misri katika makabiliano yaliyodumu usiku kucha kati ya wafuasi na wapinzani wa rais aliyengo'lewa mamlakani Mohammed Morsi.
Maafisa wanasema kuwa , ghasia zilitokea wakati wa maandamano yaliyofanywa na wafuasi wa Morsi.

Rais huyo wa zamani amezuiliwa na jeshi katika sehemu isiyojulikana bila ya kufunguliwa mashtaka yoyote, tangu mkuu wa majeshi Generali Abdul Fattah al-Sisi, kutangaza kung'olewa mamlakani kwa Morsi tarehe 3 Julai.Familia ya Bwana Morsi imetuhumu jeshi kwa kumteka nyara kiongozi huyo wa zamani.

Chama cha Bwana Morsi cha Muslim Brotherhood kimekataa kutambua serikali ya kijeshi huku kikifanya maandamano karibu kila siku kote nchini Misri.
Ghasia hizo zimesababisha vifo vya zaidi ya watu 60 tangu kuondolewa mamlakani kwa Morsi.
Siku ya Jumatatu mtu mmoja alifariki na wengine wengi wakijeruhiwa wakati wa maandamano mjini Cairo, kwa mujibu wa maafisa wa afya.
Televisheni ya taifa iliripoti kuwa wafuasi wa Morsi waliokuwa wanaandamana walikamatwa kwa umiliki haramu wa silaha.
Vifo zaidi vimeripotiwa katika makabiliano mengine tofauti katika mkoa wa Qalyubiya Kaskazini mwa Cairo.
Wakati huohuo, familia ya Morsi ilisema hawajawasiliana kamwe na Morsi, na ikathibitisha kuwa wanaitaka mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita kuanzisha uchunguzi juu ya kupinduliwa kwake.
Nchi kadhaa ikiwemo Marekani zimetaka Morsi aachiliwe.
Lakini maafisa wa kijeshi wanasisitiza kuwa anazuiliwa katika eneo salama.

Share:

TID"SIO KWELI KWAMBA NYIMBO ZA ALI KIBA ZINAPENDWA MUSCAT OMAN, MIMI NDIO NAPENDWA ZAIDI HUKO"

 Khalid Mohamed, Top In Dar (T.I.D) ambae pia ni mmiliki wa Top Band amepinga vikali taarifa zinazoonesha kuwa Nyimbo za msanii mwenzake Ali Kiba zinasikilizwa zaidi Muscat huenda kuliko msanii mwingine wa Bongo Fleva.

Taarifa hizi zilizotolewa na mtandao wa Bongo5 ambao ulipata maelezo ya kina baada ya kuchat na mtanzania aishie nchini Muscat aliyetambulika kwa jina la Rayya Al Habsi aliyewapa tathmini kuhusu nyimbo za kibongo zinazosikilizwa zaidi huko mjini Muscat,Oman.

Rayya alisema nyimbo za Ali Kiba zinasikilizwa sana lakini pia wasanii wengine wanaopendwa ni Diamond Platinumz, Ommy Dimpoz na Dully Sykes.

Rayya aitaja pia upande wa mduara kuwa ni AT, Off side Trick na Kilimanjaro Band, na kwamba band inayofunika zaidi ni Twanga Pepeta.

Taarifa hizi zinakuja wakati ambapo T.I.D amepata deal la kwenda mjini Muscat kupiga show akiwa na band yake ‘Top Band’, na hivyo ameona kama taarifa hizi zimepotoshwa na yeye ndiye alistahili kutajwa katika nafasi aliyopewa ‘Ali Kiba.’ Na kwamba yeye ameshapiga show mara mbili na anaenda kwa mara ya tatu akiwa na band yake.

Kupitia ukurasa wake wa facebook T.I.D a.k.a Mnyama amedondosha  maelezo confidently.

“This came after I have been mentioned perfoming well its too late for this reminder its my time,and they listen to me alot its my third time perfomin there and this time with my band.”

Kisha akaambatanisha na kichwa cha habari chenye picha ya Ali Kiba kama kilivyoandikwa na Bongo5, yenye kichwa cha habari “Nyimbo za Ali Kiba zinasikilizwa zaidi Muscat ‘huenda’ kuliko msanii mwingine wa Bongo Flava.”
Well, yale yanaweza kuwa ni maoni ya Rayya, maoni sio utafiti rasmi japo unatoa picha ya jumla. Lakini inaonekana kama Top In Dar hataki kuwa Down any where hivi hivi.
Share:

MKE WA MTU AFUMWA GUEST HOUSE AKIVUNJA AMRI YA SITA NA BOSI WAKE



Mwanamke mmoja[jina limehifadhiwa] alifumwa ndani ya nyumba ya kulala wageni maarufu kama guest house akifanya ufiraun na tajiri yake.
tukio hilo lime tukia mida ya saa 2 usiku wa kuamkia leo  ambapo inasemekana kuwa ilikuwa ni kawaida kwa mama huyo kujivinjari na tajiri yake muda ambao mume wake anakuwa hayupo
inadaiwa kuwa baada ya mume kutonywa na wasamalia wema kuhusiana na mchezo mchafu anaoufanya mkewe ikabidi jamaa amuandalie tego ambalo jana ndo lilisoma vizuri.
kwa sasa wagon wa jamaa wote wako katika kituo cha polisi cha mwatex ambapo walifikishwa kwa ajili ya usalama wao
Share:

BBA UPDATES:NANDO NA DILLISH WAONDOA TOFAUTI ZAO BAADA YA NANDO KUTANGAZA KUWA DILLISH ALIMSHIKA SEHEMU NYETI


Uh-oh is Dillish and Nando's friendship on the rocks? The two focan just joke around with him anymore without knowing if he will take things personally. She said: "That's why I only want to chill with Melvin, because I know that he will just laugh about things".
Meanwhile Nando said that he was not happy with Dillish assuming that he takes things personally without asking him. "I hate when you make me feel like sh*t," said the Tanzanian.
In the end, the two both agreed that they still like being friends and they went back to their playful ways; laughing rmer Diamonds spent a good portion of the night airing out their differences.
From the looks of things, today's comical court session had some not so funny consequences. The Namibian was not impressed by Nando sharing in front of everyone that she had jokingly touched his penis.
She felt that he was being inappropriate talking about things that are real during a joking court session. "You come in the shower and touch my boob and I laugh because it is just a joke. I didn't go around sharing that with everyone," said Dillish.
The Namibian told her buddy that the reason that their friendship has changed is because she doesn't know if she and joking with one another.

Share:

Follow Us

Random Posts

BTemplates.com

Powered by Blogger.
The Magazine

Facebook

Total Pageviews

Random Posts

Recent Comments

Recent Posts

Popular Posts

Blog Archive