Akizungumza katika ibada maalumu ya kuhamasisha jamii kujiepusha na
vitendo vya kishirikina iliyoanadaliwa na wadau mbali mbali kwa
ushirikiano na kanisa la Pentekost kamanda wa vijana wa mkoa wa
Arusha Bw. Philemon Molllel amesema baada ya kubainika kuwa ushirikina
ndio msingi mkuu wa mauaji ya walemavu wa ngozi,vikongwe,na maovu
mengine katika jamii kinachohitajika ni kushirikiana na kuhamasishana
kuutokomeza kazi ambayo vikundi hivyo vinaiweza.
Tuesday, 21 April 2015
Home »
habari za nyumbani
» Serikali yatakiwa kuvishirikisha vikundi vya uhamasishaji kukabiliana na mauaji ya imani za kishirikina.





