Saturday, 22 June 2013

MBUNGE WA MBEYA AMTUKANA WAZIRI MKUU NA KUDAI KUWA "TANZANIA HAIJAWAHI KUWA NA WAZIRI MKUU MPUMBAVU KAMA ....."

Katika hali yakushangaza , mbunge wa mbeya mjini kwa tiketi ya CHADEMA, mh. SUGU ameporomosha tusi zito kwa waziri mkuu wa tanzania ( mh. PINDA ) akidai kuwa Tanzania haijawahi kuwa na waziri mkuu mpumbavu kama yeye.....

Tusi la Sugu limekuja baada ya waziri mkuu kuwaruhusu rasimi polisi kutumia nguvu ya ziada kuwadhibiti wananchi kwa kuwashushia kichapo ili wazitii sheria.....

Hili ndo tusi la mbuge wa mbeya kwa waziri mkuu...


Share:

Follow Us

Random Posts

BTemplates.com

Powered by Blogger.
The Magazine

Facebook

Total Pageviews

Random Posts

Recent Comments

Recent Posts

Popular Posts

Blog Archive