lilikuwa ni sakata la kushangaza pale ambapo mchungaji wa kanisa maarufu nchini kenya alipofumwa na raia kwenye nyumba za kulala wageni almaarufu kama guest house akivunja amri ya sita (akila uroda} na mke wa mtu ambaye pia ni mfuasi katika kanisa lake. mchungaji huyo alinusurika kichapo baada ya kuchomoka na kukimbia mbio za mbwa mwizi
kwa mambo yote tazama vidio hiyo hapo chini.
kwa mambo yote tazama vidio hiyo hapo chini.





