Sunday, 21 June 2015

exclusive; huu ndio umuhimu wa watoto kufunga swaumu......

Jamii nyingi duniani kwa sasa zimekuwa zikilalamikia kupotoka kwa watoto kimaadili ikiwa ni matokeo ya mabadiliko ya mfumo wa maisha,Waislamu wengi wamekuwa wakitumia kipindi cha mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwafundisha watoto wao namna bora ya maisha.
Mwandishi wetu Halima Nyanza kutoka Dar es Salaam ametembelea baadhi ya familia za Kiislam kuona namna wanavyo walea watoto kwa misingi ya kidini ili kuwajenga kimaadili
Share:

Follow Us

Random Posts

BTemplates.com

Powered by Blogger.
The Magazine

Facebook

Total Pageviews

Random Posts

Recent Comments

Recent Posts

Popular Posts

Blog Archive