Friday, 3 April 2015

rais wa somalia ataka ushirikiano na serikali ya kenya.......

Rais wa Somalia
Rais wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamoud, amesema kuwa Somalia na Kenya zinafaa kuimarisha uhusiano wao dhidi ya ugaidi, baada ya wapiganaji wa kiislamu kushambulio chuo kimoja kikuu mjini Garrisa hapo jana Alhamisi.
Watu 147 waliuwawa wengi wao wakristo, baada ya wanamgambo hao wa Al- Shaabab kutumia kigezo cha kidini ili kuwatenganisha.
Bwana Mohamoud ametaja mauaji hayo kama tendo la kinyama ambalo halina msingi katika dini ya kiislamu.
Ametoa rambirambi zake kwa serikali ya Kenya.
Kenya imetoa zawadi ya shilingi millioni 5 kwa mtu yeyote atakayeweza kumkamata Mohammed Kano ,mwalimu wa zamani ambaye anashukiwa kupanga mauaji hayo.
Kwa sasa anaidaiwa kuwa nchini Somalia.
Share:

Follow Us

Random Posts

BTemplates.com

Powered by Blogger.
The Magazine

Facebook

Total Pageviews

Random Posts

Recent Comments

Recent Posts

Popular Posts

Blog Archive