
UKE USIOTOSHELEZA
Wanawake wengi hawajui kuwa wana uke wenye kasoro na unaoshindwa kutosheleza kiu ya mwanaume wakati wa tendo la ndoa kwa sababu wanaume hawajawaambia ukweli wanaume hao huona urahisi kuwaelezea wanaume wenzano lakini kamwe hawawezi kuwaambia wapenzi wao.
Njia pekee ambayo mwanamke atapata taarifa hii muhimu kutoka kwa mwanaume ni pale atakapoweza kumkasirisha sana mwanaume huyo.
Kuna sababu mbalimbali zinazosababisha
(1) KUJIFUNGUA MTOTO
Furaha ya kupata mtoto wa kwanza inakuja pamoja na gharama za kushindwa kumridhisha mwanaume wakati wa tendo la ndoa kama ilivyokuwa mwanzoni. Wakati wa kujifungua uke na mlango wa mfuko wa uzazi kutanuka na kujibana mara nyingi sana kipindi chote cha utungu wa uzazi. Kitendo hicho kikichanganywa na msukumo mkubwa wa mwili wa mtoto mchanga kunapelekea uke kupanuka na kuwa mlegevu.
(2) TENDO LA NDOA
Ukifanya mapenzi na mwanaume mwenye uume mkubwa kwa muda mrefu uke wako utapanuka na kuwa na hali ya ulegevu katika kuta zake na mlango wa uke pia. Hali hii hutokea kwa kuwa misuli yenye uwezo kama wa mpira unaovutika vutika baada ya kuvutwa mara nyigni hupoteza nguvu yake ya kuvutika na kurudia hali ya kawaida.
(3) KURITHI
Utafiti unaonyesha kuwa wanawake wengine wenye tatizo hili ni kwa kuwa wamerithi toka kwa wazazi wao au babu zao pia. Utafiti huo ulifanyika miongoni mwa kina dada wenye umri kati ya miaka 12 na 19 na wachache waligundulika kuwa na uke mpana na mlegevu japo walikuwa hawajaingiliwa na mwanaume yeyote.
(4) MENGINEYO
Wanawake ambao huinua vyuma vizito vya mazoezi wamkutwa kuwa na tatizo hilo ukilinganisha na wale ambao hawafanyi mazoezi hayo. Lingine ni kwa wanawake wenye tatizo la kuvimbiwa mara kadhaa wakati wa ujana wao pia hao hukumbwa na hasira hii mbaya. Wanawake wenye umri mkubwa pia nao hukutana na tatizo hili linalokosesha raha.
HAYA TUENDELEEE SASA
Ili uweze kufanikiwa katika hilo kwanza lazima utambue kuwa kila mmoja wetu anapendelea vitu tofauti tofauti kama vile kuna wengine hawawezi kula chakula bila pilipili kadhalika kuna watu wengine ambao hawawezi kuendeleza uhusiano unaokuwa na mapungufu fulani. Kwa mfano huo wa pilipili ningependa kusisitiza kuwa inakupasa uwe makini sana katika vitu ambavyo wewe unapendelea lakini mwenzio hapendelei kwani hapo ukishindwa kutimiza haja za mwenzio unaweka uhusiano wako hatarini.Pamoja
Nakumbuka kuwa na uhusiano na dada mmoja mwenye umri wa miaka 24 na dada huyo aliniambia wazi kuwa hajawahi kuachwa na mwanaume yeyote yule kati ya wanaume sita walionitangulia
Umuhimu wa kujali tofauti za utamu unaongezeka zaidi kutokana na mambo mengi tofauti tunayokutana nayo katika mitandao na tamthilia .Katika maeneo hayo niliyotaja upo uwezekano wa mtu kujiona sio mzuri wa kutosha au hana uwezo wa kipesa wa kutosha au hapendwi kikamilifu. Hisia zinazojitokeza wakati wa kuangalia tamthilia au kuona mambo fulani kwenye mtandao zina nguvu za kumbadilisha mtu na tabia zake au mwenendo wake.
Changamoto kwako ni kwamba jitahidi kuleta utamu wa kutosha katika maeneo mengi zaidi ya uhusiano wako ili umpe sababu za kufurahia kuwa nawe kama mpenzi.
Tahadhari kwako, uonapo mpenzi wako hataki kufanya mabadiliko mazuri unayomweleza kuwa ni muhimu kwako jua kuwa hana penzi la kweli kwako. Pamoja na hilo pale kuwa mpenzi wako anatamani mambo yanayohitaji uwezo mkubwa wa kifedha kuliko uwezo wenu na hajali uboreshaji wa penzi bila kuhusisha pesa basi tambua kuwa mwenzio ni mpenzi wa fedha na sio mpenzi wako.
Nimuhimu katika uhusiano wa kimapenzi kuwepo kwa mfumo unaoleta utamu tofauti tofauti. Hali ya kupata vitu au mambo tofauti huleta uchangamfu na mshikamano ambao husaidia katika kukuza penzi kati ya watu wawili wanaopendana. MWISHO





