Mwenyewe anasema kwamba role model wao na mchumba wake H Baba ni Kim Kardashian na Kanye West. Kila kitu ambacho Kim na Kanye wanafanya na wao wanafuata..mfano mdogo ni pale Kanye alinvyomvisha pete Kim K..H baba na yeye akamvisha pete Flora Mvungi. Baadaye Kim K akapata mimba na Florah akafuatia..lakini this time Florah na H baba wanajiandaa kufunga ndoa, upande wa pili wa Kim K na Kanye hatujaskia chochote.
Kitu kikubwa leo hii ni kwamba Florah Mvungi atafanyiwa Kitchen Party tayari kwa ajili ya kufunga ndoa na mchumba wake H baba. Bila shaka ndani ya muda mfupi watakuwa Mr and Mrs..
Kitu kikubwa leo hii ni kwamba Florah Mvungi atafanyiwa Kitchen Party tayari kwa ajili ya kufunga ndoa na mchumba wake H baba. Bila shaka ndani ya muda mfupi watakuwa Mr and Mrs..







