Sunday, 2 June 2013

Vita vya Syria vyazidi kutapakaa Libnan

.Inaarifiwa mapigano hayo yalitokea mashariki mwa bonde la Bekaa katika mji wa Baalbek.

Jumamosi makombora na mizinga kadha ilirushwa dhidi ya eneo hilo na makombora zaidi yamepiga piya mitaa ya kusini mwa Beirut.

Wapiganaji wa Syria wamesema watafanya mashambulio ndani ya Libnan kulipiza wapiganaji wa Hezbollah kumsaidia kivita rais wa Syria, Bashar al Assad.
Share:

Follow Us

Random Posts

BTemplates.com

Powered by Blogger.
The Magazine

Facebook

Total Pageviews

Random Posts

Recent Comments

Recent Posts

Popular Posts

Blog Archive