Thursday, 8 August 2013

Zanzibar mwezi haukuonekana

Imetangazwa rasmi kwamba zanzibar mwezi haukuonekana hivyo kuwataka wananchi kuendelea na kukamilisha hesabu ya siku 30

Taarifa hiyo imetolewa na kamati ya mwezi kupitia zbc imesema sikukuu ya eid al fitri itakuwa siku ya ijumaa.

Kullu aam waantum bikhair

Share:

Follow Us

Random Posts

BTemplates.com

Powered by Blogger.
The Magazine

Facebook

Total Pageviews

Random Posts

Recent Comments

Recent Posts

Popular Posts

Blog Archive